Thursday 10 July 2014

Zingatio kwa kila mwenye mke


Daima jaribu uwezavyo kuwa mtu mzuri kwa mkeo kwa njia ya maneno na vitendo. Ongea nae, mchekee, tafuta ushauri wake, muulize juu ya mawazo yake, tumia-wakati maalum na yeye na daima kumbuka kwamba Mtume Mohammed (s.a.w) alisema:-((Wabora katika nyinyi ni wale ambao ni wabora kwa wake zao))

No comments:

Post a Comment