Daima jaribu uwezavyo kuwa mtu mzuri kwa mkeo kwa njia ya maneno na vitendo. Ongea nae, mchekee, tafuta ushauri wake, muulize juu ya mawazo yake, tumia-wakati maalum na yeye na daima kumbuka kwamba Mtume Mohammed (s.a.w) alisema:-((Wabora katika nyinyi ni wale ambao ni wabora kwa wake zao))
No comments:
Post a Comment