Wasia tisa kutoka Quran (Suratul Hujurat) za kutufunza kudili (kuamiliana) na watu:
1- Chunguzeni kwanza ukweli wa habari (mnapoletewa habari).
2- Fanyeni suluhu (patanisheni baina ya watu waliogombana).
3- Hukumuni kwa haki.
4- Msiwadharau watu.
5- Msitukanane kwa makabila.
6- Msiitane kwa majina mabaya.
7- Jiepusheni sana na kuwadhania watu dhana mbaya.
8- Msipeleleze habari za watu.
9- Msisengenyane
zihifadhi vizuri na uzichunge maishani.
si jukumu lako kumfurahisha kila mtu lakini ni jukumu lako kutomuudhi mtu.
No comments:
Post a Comment