Thursday 10 July 2014

Wasia tisa


Wasia tisa kutoka Quran (Suratul Hujurat) za kutufunza kudili (kuamiliana) na watu: 

1- Chunguzeni kwanza ukweli wa habari (mnapoletewa habari). 

2- Fanyeni suluhu (patanisheni baina ya watu waliogombana). 

3- Hukumuni kwa haki. 

4- Msiwadharau watu. 

5- Msitukanane kwa makabila. 

6- Msiitane kwa majina mabaya. 

7- Jiepusheni sana na kuwadhania watu dhana mbaya. 

8- Msipeleleze habari za watu. 

9- Msisengenyane

zihifadhi vizuri na uzichunge maishani. 

si jukumu lako kumfurahisha kila mtu lakini ni jukumu lako kutomuudhi mtu. 

No comments:

Post a Comment