Huenda wengine wakakuona msafi, na huenda wengine wakakuona muovu, na huenda wengine wakakuona.......
Lakini siri ya pekee ambayo haijui mwengine ila wewe ni:
siri ya mafungamano yako na Mungu wako
Basi wasikughuri wanaokusifu... wala wasikudhuru wanaokukejeli.......
Mwenyezi Mungu amesema:
{Bali mtu ni shahidi juu ya nafsi yake}.
(Suratul Qiyama : 14)
No comments:
Post a Comment