Thursday 10 July 2014

Siri ya maisha


Huenda wengine wakakuona msafi, na huenda wengine wakakuona muovu, na huenda wengine wakakuona.......

Lakini siri ya pekee ambayo haijui mwengine ila wewe ni: 

siri ya mafungamano yako na Mungu wako

Basi wasikughuri wanaokusifu... wala wasikudhuru wanaokukejeli.......

Mwenyezi Mungu amesema: 

{Bali mtu ni shahidi juu ya nafsi yake}.

(Suratul Qiyama : 14)

No comments:

Post a Comment