Ndugu zangu wapendwa,
Hisani yako na utangamano wako hausahauliki, usijute kwa madakika uliyomfurahisha mtu katika maisha yake hata kama alikuwa hastahiki kufanyiwa hivyo...! Kuwa kitu kizuri katika maisha ya kila anayekujua.
Inatutosha kuwa tuna Mungu anatulipa wema kwa wema....!!!
Hisani yako na utangamano wako hausahauliki, usijute kwa madakika uliyomfurahisha mtu katika maisha yake hata kama alikuwa hastahiki kufanyiwa hivyo...! Kuwa kitu kizuri katika maisha ya kila anayekujua.
Inatutosha kuwa tuna Mungu anatulipa wema kwa wema....!!!
No comments:
Post a Comment